Pages

Wednesday, June 22, 2011

wana -USCF waaswa kuhudhuria kanisani

wana- ukwata wa hapa SAUT TABORA wametakiwa kuhudhuria kanisani ili kushiriki ibaada ya pamoja na wan USCF wenzao katika ibaada za kila siku za jumapili ambazo hufanyika kila jumapili kuanzia saa 2-4 asubuhi.
 akiongea na blog hii mwenyekiti na katibu wa uscf kwa nyakati tofauti walisema yakuwa kuwa katika kipindi hiki cha chuo kikuu si kigezo cha kuacha kuhudhuria ibaadani na kutomwabudu Mungu aliyempa uhai na uwezo wa kutembea. hivyo basi kila mwana ukwata wanapaswa kuhudhuria ibaada hizi muhimu katika kukua kiroho

No comments:

Post a Comment

uscf saut tabora