USCF AMUCTA
TANGAZO KWA WANA-USCF WOTE AMUCTA
UTARATIBU WA KUTOA MICHANGO YA
WELCOME FIRST YEAR, ADA ZA UANACHAMA WA USCF & ID
Wana-USCF (UKWATA) AMUCTA, tunapenda kuwatangazia kuwa kwa
muda huu uliobaki kabla ya kufungua chuo unaweza kulipa baadhi ya michango
ukiwa huko huko nyumbani kwa utaratibu ufuatao
Kila mwanachama ataruhusiwa kulipa kupitia M-PESA ya moja ya
namba za viongozi wafuatao
KIULA
OSWALD -M/KITI USCF- 0763029651
SINEDA KADASO
M/KITI/MSAIDIZI- 0766916782
MESHACK JACKSON-KATIBU -0752595729
JUSTINE
JOHN –K/MSAIDIZI- O762582807
PETER SIMON
–MHAZINI-0755771625
HAPPYNESS
LYIMO- 0714865668 (TIGO PESA)
UNaombwa kulipia kama ifuatavyo
1.1. Mchango wa welcome First year – Tsh 5000/=
2. Ada ya uanachama mwaka jana- Tsh 5000/= (kama
bado hujalipa)
3.Ada ya uanachama mwaka ujao (semester 1)- Tsh
5000/=
I 4.ID kama bado hujaleta picha – Tsh 3000/=
Tunatanguliza shukrani za dhati kwa
ushirikiano mliouonesha mwaka wa masomo uliopita, tunatamani kuona ushirikiano
huu ukiendelea hadi mwaka huu,
Wenu katika Utumishi
Meshack Jackson
KATIBU USCF
No comments:
Post a Comment