Vitambulisho vya wana-USCF AMUCTA ambavyo vilikuwa vitolewe jumatatu hii vipo tayari na vimekamilika kwa kuzingatia mapendekezo yote ya wana-USCF pale walipotaka paboreshwe. hivyo wana-uscf wote ambao mmelipia ada ya uanachama Tsh 5000/= mtapokea vitambulisho vyenu kwa katibu jumapili hii kwenye Ibaada..
MUNGU AWABARIKI SANA
WENU KATIKA BWANA
JACKSON MESHACK
KATIBU USCF
No comments:
Post a Comment