Pages

Monday, June 20, 2011

USCF AMUCTA Wateua kamati mbalimbali

viongozi wa USCF hapa SAUT TABORA wameteua kamati mbalimbali za kuweza kufanikisha kazi za uscf kusonga. kamati hizo ziliteuliwa wakati wa kikao cha kamati kuu cha USCF kilichofanyika jumapili iliyopita ya tarehe 19/6/2011. kikao hicho kikiwa na wajumbe kadhaa ambao ni
     KIULA OSWALD-MWENYEKITI
     REGINA PHAUSTINE-M/KITI MSAIDIZI
     MESHACK JACKSON- KATIBU
     SUBIRA MANASE- M/KATIBU 
     SINEDA KADASO-MHAZINI
     JASTIN JOHN-MWAKILISHI
katika kikao hicho kiliteua kamti zifuatazo na viongozi wake
    
    KAMATI YA UINJILISTI
   1.SIJALI MGONDE-MWENYEKITI
   2.RAFAEL PETRO-KATIBU

KAMATI YA UKARIMU
  1.DAMARIS KASIGA-MWENYEKITI
  2.PETER SIMONI-KATIBU WAKE

mwenyezi MUNGU na aubariki uteuzi huu

No comments:

Post a Comment

uscf saut tabora