Pages

Saturday, August 13, 2011

Tuzidi kumshika Mungu tunapokuwa TP

Wapendwa katika bwana, Bwana Yesu asifiwe. Najua kwa kipindi hiki upo katika mazingira Tp, ni jambo la kumshukuru Mungu kwa kutuweka hai mpaka leo. Ni wengi waliotarajia kufika leo lakini wameshindwa. Sasa tunapenda kuwakumbusha kuwa Mungu wetu anaishi na anaweza, hivyo tumtumaini yeye atatupigania daima. Magumu yote utakayokutana nayo huko, mwombe Mungu ashughulike nayo, maana yanaweza kuwa mazito zaidi kwako. Mungu awabariki na Tp njema

uscf saut tabora