this is the fantastic blog on sharing and discussing the word of GOD welcome and enjoy been here contact: uscfamucta@gmail.com
Saturday, September 29, 2012
Thursday, September 27, 2012
TANGAZO LA IBAADA YA JUMAPILI HII YA TAREHE 30/09/2012
TANGAZO
UNIVERSITY STUDENTS CHRISTIAN
FELLOWSHIP
USCF-UKWAVITA (UKWATA) AMUCTA
TUNAPENDA KUWATANGAZIA YAKUWA JUMAPILI HII YA TAREHE
30/09/2012 TUTASALI PAMOJA TTC-ROOM NO.7 IBAADA ITAANZA SAA 1:30 ASUBUHI, HIVYO
BASI KAMA MWANA-USCF (UKWATA) KUANZIA MWAKA WA KWANZA HADI MWAKA WA TATU
MNAOMBWA KUSHIRIKI PAMOJA IBAADA HII YA KWANZA KABISA KWA MWAKA WA MASOMO
2012/13.
SAMBAMBA NA HILO, RATIBA YA KWAYA WIKI HII
ITAKUWA KAMA IFUATAVYO
IJUMAA-SAA 11:30 JIONI
JUMAMOSI-SAA 8:30 MCHANA
UTARATIBU WA MAOMBI UTAKUWA KAMA IFUATAVYO
IJUMAA-SAA
12:30 JIONI
JUMAPILI-SAA
1:00 ASUBUHI & BAADA YA IBAADA
“tena tusichoke katika kutenda
mema; maana tutavuna kwa wakati wake, tusipozimia roho.” Wagalatia 6: 9
JACKSON MESHACK
KATIBU-USCF (UKWATA)
Wednesday, September 26, 2012
KIPINDI CHA KWAYA WIKI HII -USCF AMUCTA
kwa wanakwaya wote wa USCF-UKWAVITA wa mwaka wa pili na wa tatu ya kuwa Ratiba ya kwaya wiki itakuwa kama ifuatavyo IJUMAA SAA 11:30 .ENDELEA KUSOMA HABARI HII HAPA >>>>>>>>>
Thursday, September 20, 2012
KARIBUNI WANA-UKWATA MWAKA WA KWANZA WOTE HAPA AMUCTA
Mwaka wa kwanza wote ambao ni wana-UKWATA huko wmlikotoka yaani mashuleni mlikokuwa mnasoma, tunawakaribisha sana katika USHIRIKA WA KIKRISTO WA WANFUNZI WA VYUO VIKUU TANZANIA (UKWAVITA) ama kwa kingereza tunakiita UNIVERSITY STUDENTS CHRISTIAN FELLOWSHIP (USCF).
karibuni sana tumwabudu Mungu katika roho na kweli, pia kuna fursa mbalimbali katika kikundi chetu cha UKWAVITA-USCF.
1. KIKUNDI CHA KWAYA
2. KIKUNDI CHA MAOMBI
3. KAMATI ZA UINJILISTI
4. KAMA ZA UKARIMU
5. KUTEMBELEA WAGONJWA MAHOSPITALINI
6. KUTEMBELEA VITUO VYA WATOTO YATIMA NA WAJANE.
kama unahisi unapenda huduma moja ama kadhaa hapo juu na unapenda kumtumikia Mungu katika huduma ambayo unaipenda basi unakaribishwa katika kushiriki kulitangaza neno la Mungu kupitia huduma yeyote unayoipenda
KARIBUNI SANA
WENU KATIKA UTUMISHI WA BWANA
JACKSON MESHACK
KATIBU USCF-AMUCTA
karibuni sana tumwabudu Mungu katika roho na kweli, pia kuna fursa mbalimbali katika kikundi chetu cha UKWAVITA-USCF.
1. KIKUNDI CHA KWAYA
2. KIKUNDI CHA MAOMBI
3. KAMATI ZA UINJILISTI
4. KAMA ZA UKARIMU
5. KUTEMBELEA WAGONJWA MAHOSPITALINI
6. KUTEMBELEA VITUO VYA WATOTO YATIMA NA WAJANE.
kama unahisi unapenda huduma moja ama kadhaa hapo juu na unapenda kumtumikia Mungu katika huduma ambayo unaipenda basi unakaribishwa katika kushiriki kulitangaza neno la Mungu kupitia huduma yeyote unayoipenda
KARIBUNI SANA
WENU KATIKA UTUMISHI WA BWANA
JACKSON MESHACK
KATIBU USCF-AMUCTA
Subscribe to:
Posts (Atom)