Mwaka wa kwanza wote ambao ni wana-UKWATA huko wmlikotoka yaani mashuleni mlikokuwa mnasoma, tunawakaribisha sana katika USHIRIKA WA KIKRISTO WA WANFUNZI WA VYUO VIKUU TANZANIA (UKWAVITA) ama kwa kingereza tunakiita UNIVERSITY STUDENTS CHRISTIAN FELLOWSHIP (USCF).
karibuni sana tumwabudu Mungu katika roho na kweli, pia kuna fursa mbalimbali katika kikundi chetu cha UKWAVITA-USCF.
1. KIKUNDI CHA KWAYA
2. KIKUNDI CHA MAOMBI
3. KAMATI ZA UINJILISTI
4. KAMA ZA UKARIMU
5. KUTEMBELEA WAGONJWA MAHOSPITALINI
6. KUTEMBELEA VITUO VYA WATOTO YATIMA NA WAJANE.
kama unahisi unapenda huduma moja ama kadhaa hapo juu na unapenda kumtumikia Mungu katika huduma ambayo unaipenda basi unakaribishwa katika kushiriki kulitangaza neno la Mungu kupitia huduma yeyote unayoipenda
KARIBUNI SANA
WENU KATIKA UTUMISHI WA BWANA
JACKSON MESHACK
KATIBU USCF-AMUCTA
No comments:
Post a Comment